Imam Khamenei: Marekani, mkiukaji mkubwa wa haki za binadamu

IQNA

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, Marekani ni mkiukaji mkubwa wa haki za binadamu duniani.
Habari ID: 1353129   Tarehe ya kuchapishwa : 2014/01/11